HADITHI YA MARAFIKI WATATU

Discussions

1 comments posted

marafiki watatu

Huo ndio ukweli maana ukiwa na pesa kwa jamii yetu ya kiafrica daima utakuwa na ndugu wengi, jamaa ndio usiseme, Pana msemo mmoja wanasema wagirik kuwajoki waafrika kwamba mwafrika akipata pesa ni sawa na ndege mmoja aliye angani akaachia jivi kumbe katika kile kinyesi chake palikuwamo mbegu fran ya mti mkubwa kinyesi kile kikadondoka katika jangwa pakatokea ile mbegu ikaota na ikastawi vema mwisho wa siku ukawa mti mkubwa sana katika eneo lile. Ikitokea ndege wakawa katika safari zao wote upumzika katika mti ule, hatimae ule mti UKAUKA kutokana na kuzidiwa na kinyesi na pilika za ndege wale, Maana ufikia hatua wakatafuna hata matawi, HAKIKA Huo ndio uafrica,

hakika nimeipenda hii habari mungu awabaliki .

Kamgisha.